Doukara apigwa marufuku ya mechi nane

Mshambuliaji wa klabu ya Leeds United Souleymane Doukara, amepigwa marufuku ya mechi nane kwa kumng'ata mchezaji mwingine. Mchezaj...



Mshambuliaji wa klabu ya Leeds United Souleymane Doukara, amepigwa marufuku ya mechi nane kwa kumng'ata mchezaji mwingine.
Mchezaji huyo wa umri wa miaka 24 analaumiwa kwa kusababisha timu yake kutoka sare ya bao moja na Fulham mnano tarehe 23 mwezi Februari.
Doukara ambaye alipinga hatua hiyo pia amepigwa faini ya dola 5000.
Leeds United imekasirishwa na matokeo ya kisa hicho pamoja na urefu wa hukumu lakini imesema haitatoa taarifa zaidi kwa sasa.
Marufuku hiyo inamaanisha kuwa hatashirika kandanda hadi wakati mechi ya mwisho ya msimu.

Related

MICHEZO 4710113020807905263

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item