Ghasia: Maduka ya raia wa Rwanda yaporwa Zambia

Ramani ya Zambia Zaidi ya watu 200 wamekamatwa katika mji mkuu wa Zambia Lusaka huku maandamano ya ghasia na wizi ukie...

Ramani ya Zambia
Zaidi ya watu 200 wamekamatwa katika mji mkuu wa Zambia Lusaka huku maandamano ya ghasia na wizi ukiendelea kwa siku ya pili mfululizo.
Makumi ya maduka yanayomilikiwa na raia wa Rwanda yameporwa kufuatia madai kwamba raia wa Rwanda wamekuwa wakishiriki katika mauaji ya kishirikina.

Takriban watu saba wameuawa katika wiki za hivi karibuni na viungo vyao vya mwili kukatwa.
Inadaiwa kwamba viungo hivyo hutumika kufanyia uchawi.
Kuna zaidi ya wakimbizi 7000 wa Rwanda nchini Zambia.
Wengi wao wamedaiwa kutoroka maduka yao na makaazi
CHANZO,BBC

Related

HABARI 7269376191155810726

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item