Tamasha la Ivor Novella lampuuza Adele

Adele Mwanamuziki mashuhuri Adele ameshindwa kupata uteuzi katika tamasha la kuwatuza...

Adele
Mwanamuziki mashuhuri Adele ameshindwa kupata uteuzi katika tamasha la kuwatuza wasanii la Ivor Novello ambalo hutambua ufanisi wa uandishi wa nyimbo.
Nyota huyo ambaye albamu yake ya tatu iliuza sana mwaka 2015,hakuangaziwa katika tuzo hizo ambazo hupigiwa kura na watunzi pamoja na waandishi wa nyimbo.
Badala yake Ed Sheen,Jess Glynne na James bay waliorodheshwa kuwania tuzo hiyo.

Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna

Msomi avua nguo kwa kufungiwa ofisi

Atolewa kwenye ndege kwa kuongea Kiarabu

Mwanamuziki afuta tamasha baada ya mbwa kuugua

Filamu nyingine ya Avatar kuongezwa

Kwa Picha: Baadhi ya vyoo bora zaidi duniani

Helikopta ilivyobeba pochi ya gavana Marekani

Kunguni sasa ni sugu kwa dawa

Mwanamuziki mashuhuri Adele ameshindwa kupata uteuzi katika tamasha la kuwatuza wasanii la Ivor Novello ambalo hutambua ufanisi wa uandishi wa nyimbo.
Nyota huyo ambaye albamu yake ya tatu iliuza sana mwaka 2015,hakuangaziwa katika tuzo hizo ambazo hupigiwa kura na watunzi pamoja na waandishi wa nyimbo.
Badala yake Ed Sheen,Jess Glynne na James bay waliorodheshwa kuwania tuzo hiyo.

Related

BURUDANI 618035716096690405

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item