WATU KADHAA WAUWAO KABUL

Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani anasema kuwa watu kadha wameuawa au kujeruhiwa kufuatia shambulizi la kujitoa mhanga wakati wa shug...


Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani anasema kuwa watu kadha wameuawa au kujeruhiwa kufuatia shambulizi la kujitoa mhanga wakati wa shughuli nyingi kwenye mji mkuu wa Afghanistan Kabul.
Walioshuhudia walisema kuwa watu kadha waliokuwa wamejihami, waliingia kwenye majengo yaliyo karibu na makao ya shirika la ujasusi la nchi

Baada ya kutokea kwa mlipuko, milio ya risasi ilisikika. Msemaji wa wizara ya ndani amesema kuwa eneo hilo limefungwa na vikosi vya usalama.
Taliban walitangaza kutekeleza shambulizi hilo. Wiki iliyopita Taliban walitangaza kuwa wangeanzisha mashambulizi kote nchini Afghanistan.

Related

HABARI 6264348409149658488

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item