Ajitangaza twitter baada ya kukosa kazi

Anthea Malwandla anasema ametafuta kazi kwa mwaka mmoja bila ya mafanikio Ujumbe uliowekwa kwenye mtandao wa twitter ...

Anthea Malwandla anasema ametafuta kazi kwa mwaka mmoja bila ya mafanikio
Ujumbe uliowekwa kwenye mtandao wa twitter nchini Afrika Kusini unaonekana kupata umaarufu wakati nchi hiyo inapokumbwa na viwango vikubwa vya ukosefu wa ajira.

Picha ya mwanafunzi aliyefuzu chuo Anthea Malwandla imesambazwa kwa zaidi ya mara 1500 licha na picha hiyo kukosa kusababisha apate ajira.
Anasema kuwa alifuzu kutoka chuo cha teknolojia cha Vaal na amekuwa akitafuta kazi kwa mwaka mmoja sasa.
Wiki iliyopita takwimu zilionyesha kuwa viwango vya ukosefu wa ajira ni asilimia 26.7, ikiwa ni asimia 12 zaidi mwaka huu.

Related

MAAJABU 9096314671663351654

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item