Baada ya skendo kubwa ya usaliti, Pepsi wametoa kauli juu ya Tiwa Savage kuwa balozi wao.

Kampuni ya kinywaji cha Pepsi wamethibitisha kuwa baada ya skendo kubwa ya usaliti...

Kampuni ya kinywaji cha Pepsi wamethibitisha kuwa baada ya skendo kubwa ya usaliti iliyomkumba Tiwa Savage, bado msanii huyu ni balozi wa kinywaji hicho.

Nigeria imemuangukia Tiwa Savage kwa tuhuma za usaliti zilizosambazwa mitandaoni na kurasa ya instagram ya mume wake ambaye baadae alisema kurasa hio ilivamiwa.

Siku mbili zilizopita Tiwa Savage alikanusha kumsaliti mume wake na kusema Mume wake TeeBillz alikuwa anahusishwa na uuzaji wa dawa za kulevya na pia anajua amemsaliti na sio mara moja.

Related

BURUDANI 6855946641938234466

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item