D’banj kachoka kuulizwa ataowa lini,Hili ndio jibu lake la mwisho…

Msanii Kutoka Nigeria D’banj ameongelea kwa mara ya mwisho tetesi za kufunga ndoa ...

Msanii Kutoka Nigeria D’banj ameongelea kwa mara ya mwisho tetesi za kufunga ndoa mwaka huu baada ya akuulizwa kuhusu kuwa na mipango hio mwaka huu…
D’Banj alijibu “Harusi yangu itakuwa siri na kimya kimya sana sababu nimechoka kuulizwa swali hili nwaka huu”.
D’banj pia amefunguka kuhusu show atakayokuwa anafanya na kituo cha MTV ya Lip Sync Battle Africa,na kusema ni show tofauti na show aliyowahi kufanya Ll Cool J ila kauli hii isichukuliwe kama namponda LL Cool J.

Related

BURUDANI 5497004332198941154

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item