DJ Khaled na mchumba wake wanategemea mtoto wao wa kwanza.

DJ Khaled ambaye kwa sasa anafanya show kubwa kwenye ziara ya Beyonce ya “The Formation World Tour” ametangaza habari m...

DJ Khaled ambaye kwa sasa anafanya show kubwa kwenye ziara ya Beyonce ya “The Formation World Tour” ametangaza habari mpya kuwa anategemea mtoto.
Dj Khaled atakuwa baba kwa mara ya kwanza baad aya kutangaza mchumba wake Nicole Turk ana ujauzito wa miezi mitatu.
Mwaka huu umekuwa mzuri kwa Khaled ambaye kwa sasa ana dili kubwa na lebel ya Epic,na lebel ya Roc Nation ya Jay Z

Related

BURUDANI 3769056384065021192

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item