MASHINDANO YA UTANGAZAJI YAMEANZA MAPEMA JANA KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA

Makamu Mkuu wa chuo cha AJTC, Elifuraha Samboto, akitoa hotuba kabla ya vipindi vya r...


Papaa Reymond Blessing




Makamu Mkuu wa chuo cha AJTC, Elifuraha Samboto, akitoa hotuba kabla ya vipindi vya redio  kuanza hii leo. PICHA NA CLEMENCE KARANI.
Mashindano Ya Utangazaji Yameanza Rasmi Hii Leo  Katika  Chuo Cha Uandishi Wa Habari Na Utangazaji Arusha Kwa Wanafunzi Kuwasilisha Vipindi Mbalimbali Kwa Lengo La Kuongeza Ubunifu Na Uzoefu Katika Tasnia Ya Habari.


Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha wakisikiliza vipindi vya redio katika mashindano hiliyo anza leo ndani ya chuo hicho....
Mashindano Hayo Yanahusisha Madarasa Zaidi YaKumi Na Tatu,AmbapoTayari Darasa La Seluu Limewasalisha Vipindi Vyao Mapema Hii Leo.

Majaji katika mashindano hayo ni Steven Mulaki, Onesmo Mbise, Andrea Ngobole,Amos Ishengoma pamoja na Jackline Joel.
Hata Hivyo Mashindano Hayo Yatafikia Tamati Siku Ya Ijumaa Ya Tarehe 27 ,ambapo Mshindi Wa Kwanza, Wa Pili Na Na Tatu Watapewa Zawadi Mbalimbali Ikiwemo Kombe Pamoja Na Fedha Taslimu laki moja na nusu Za Kitanzania.
  Pia Wanafunzi Katika Chuoni hapo Wamekuwa Na Mwitikio wa aina yake huku kiladarasa likijidhatiti kikamilifu kuibuka kidedea katika Mashindano hayo .


Mashindano hayo ambayo ni ya 9 ,Ufanyika Kila Mwaka Katika Chuo  hicho ambapo Wakufunzi Ufungua Mashindano Hayo  Kwa Kufanya Vipindi Mbalimbali Kitu Ambacho Huongeza Shauku Na Mwitikio Kwa Wanafunzi Chuoni Hapo.

Related

HABARI 8966197812432876070

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item