Picha,Jumba walioishi Jay Z na Beyoncé lapanda bei ghafla,dola milioni 1 kwa mwezi

Jumbe walilokuwa wakiishi wasanii wakubwa ambao ni mke na mume Jay Z na Beyoncé hu...

Jumbe walilokuwa wakiishi wasanii wakubwa ambao ni mke na mume Jay Z na Beyoncé huko kwenye mitaa ya Bridgehampton kwa sasa limepanda dau na linakodishwa kwa dola milioni 1 kwa mwezi.
Beyoncé na Jay Z walilipia dola $400,000 kwa mwezi ambapo pia walishoot video ya Drunk In Love nyuma ya nyumba hio. Nyumba ina vyumba 12 vya kulala, mabafu 12, na ni dola milioni moja kwa mwezi.
560.ab.beyonce.073012  jay-z-and-beyonce-rent-sandcastle-hamptons-rental-1

Related

BURUDANI 8758692642557401946

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item