Picha,Puff Daddy na Jay Z kwenye show ya Bad Boy Family Reunion.

Jay Z na mshkaji wake wa muda mrefu Sean ‘Puff Daddy’ Combs walionekana pamoja huk...

Jay Z na mshkaji wake wa muda mrefu Sean ‘Puff Daddy’ Combs walionekana pamoja huku ikiwa ni sehemu ya Jay  kuonyesha mapenzi kwa kundi la Bad Boy Family kwenye tour yao ya kuja pamoja kama record lebel kubwa duniani.
Show hii ya kwanza imefanyika mjini Brooklyn nyumbani kwa Jay Z ambapo Combs alimuita  Jay Z ‘Kaka Yangu’ wakati anamtambulisha kwenye stage aje kufanya nae show.
‘Bad Boy’ wamesherehekea miaka 20 kwenye game la muziki duniani.
  1 2 3 3473E78C00000578-3602925-image-m-52_1463877750982 3473E51400000578-0-image-a-38_1463875076297 3473EA2800000578-3602925-image-a-53_1463877845436 3473EFCE00000578-3602925-image-m-51_1463877726793

Related

BURUDANI 3787357340887977847

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item