RicardoMomo asema Raymond na Harmonize ni waandishi wazuri wa nyimbo.

Meneja wa Raymond ambaye ni msanii wa WCB ameweka wazi kuwa hakuna mwandishi rasmi...

Meneja wa Raymond ambaye ni msanii wa WCB ameweka wazi kuwa hakuna mwandishi rasmi wa nyimbo za WCB ila wasanii wenyewe wanashirikiana kuandika kazi ili ziwe bora.
Ricardo anasema “Mimi siangali msanii kama anaimba sana, naangalia kama anajua kuimba kwanza, msanii bila kuandika ni kazi bure, ndio maana tuliwachukua mwaka jana sababu wanajua kuandika na kuimba”.
Ricardo pia amesema Harmonize anaweza kuwa na nyimbo na wasanii wote wakachangia chochote, lazima binadamu tuwe wasikivu na kukubali kusikiliza ushauri.

Related

BURUDANI 5935185159281151695

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item