Maneno ya Edward Lowassa baada ya kusikia waliomuunga mkono wanaendelea kufukuzwa CCM

    Edward Lowassa ameyasema yafuatayo >>> ‘ Kuna mambo yanayotokea kule CCM nadhani wameumia kidogo na sasa wana...


 Edward Lowassa ameyasema yafuatayo >>> ‘Kuna mambo yanayotokea kule CCM nadhani wameumia kidogo na sasa wanaanza kulalamika Lowassa anavyowapotezea Ruzuku, lakini hivi karibuni kuna utaratibu wa kuwafukuza kwenye chama watu wanaotuhumiwa kuniunga mkono, wanaambiwa ondokeni kwenye chama mfateni Lowassa’
Nasikia kuna mipango mikubwa zaidi Rais Magufuli akikabidhiwa chama mwezi wa sita, kuna mipango mikubwa zaidi ya kuwaondoa kwenye chama…. sasa mimi nawaambia kwamba kuna maisha nje ya CCM, waje CHADEMA kuna maisha mazuri tu hapa…. wasibaki huko wananyanyaswa, waje tushirikiane hapa yanini kulialia?‘ – Edward Lowassa

 CHANZO,MILLADI AYO


Related

HABARI 2927087610696707872

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item