Magufuli ateua makatibu tawala wa mikoa Tanzani

Makatibu tawala wapya wataapishwa Jumatano Makatibu tawala wapya wataapishwa Jumatano ...

Makatibu tawala wapya wataapishwa Jumatano
Makatibu tawala wapya wataapishwa Jumatano
Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli amefanya mabadiliko katika makatibu watawala wa mikoa, makatibu kumi wakiwa wapya.
Wawili wamebadilishiwa vituo vya kazi na 13 wamesalia katika vituo vyao vya sasa.
Makatibu tawala wapya walioteuliwa, na ambao wataapishwa Jumatano wiki hii, ni:
  1. Arusha - Richard Kwitega
  2. Geita - Selestine Muhochi Gesimba
  3. Kagera - Armatus C. Msole
  4. Kilimanjaro -Mhandisi Aisha Amour
  5. Pwani - Zuberi Mhina Samataba
  6. Shinyanga - Albert Gabriel Msovela
  7. Singida - Dkt. Angelina Mageni Lutambi
  8. Simiyu - Jumanne Abdallah Sagini
  9. Tabora - Dkt. Thea Medard Ntara
  10. Tanga - Mhandisi Zena Said
Makatibu Tawala waliobadilishwa vituo vya kazi ni;
  1. Kigoma - Charles Amos Pallangyo (Kutoka Mkoa wa Geita)
  2. Morogoro - Dkt. John S. Ndunguru (Kutoka Mkoa wa Kigoma)
Makatibu Tawala waliobakishwa katika vituo vyao vya sasa vya kazi ni;
  1. Dar es salaam - Theresia Louis Mbando
  2. Dodoma - Rehema Hussein Madenge
  3. Iringa - Wamoja Ayubu Dickolagwa
  4. Katavi - CP Paul Chagonja
  5. Lindi - Ramadhan Habibu Kaswa
  6. Mara - Benedict Richard Ole Kuyan
  7. Manyara - Eliakimu Chacha Maswi
  8. Mbeya- Mariam Amri Mjunguja
  9. Mtwara - Alfred Cosmas Luanda
  10. Mwanza - CP. Clodwing Mathew Mtweve
  11. Njombe - Jackson Lesika Saitabau
  12. Rukwa - Symthies Emmanuel Pangisa
  13. Ruvuma - Hassan Mpali Bendeyeko

Related

MATUKIO 1582154576537231295

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item