Misri: Waziri afungwa miaka 10 kwa ufisadi

Mahakama moja nchini Misri imemhukumu waziri wa zamani wa kilimo miaka 10 gerezani kwa kushiriki ufisadi. Aliyekuwa Waziri wa kil...


Mahakama moja nchini Misri imemhukumu waziri wa zamani wa kilimo miaka 10 gerezani kwa kushiriki ufisadi.
Aliyekuwa Waziri wa kilimo bwana Salah Helal na msaidizi wake watatumikia miaka 10 gerezani kwa kupanga njama ya kuuza kipande cha ardhi cha umma kwa mfanyibiashara mmoja kwa bei ya chini mno.
Aidha wawili hao walipigwa faini kubwa kufuatia upande wa mashtaka kupata ushahidi wa mfanyibiashara husika.
Waziri huyo wa zamani alikamatwa muda mchache tu baada ya kujiuzulu mnamo mwezi Septemba mwaka uliopita.
 
Image caption Waziri huyo wa zamani alikamatwa muda mchache tu baada ya kujiuzulu mnamo mwezi Septemba mwaka uliopita.
Kashfa hiyo ilisababisha kuporomoka kwa serikali ya waziri mkuu bwana Ibrahim MahlfBoth.
Mfanyibiashara huyo na mpatanishi wake walisamehewa kifungo baada ya kukubaliana na mahakama kutoa ushahidi dhidi ya waziri.

Related

MATUKIO 4177860560264874049

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item