Picha za Davido na Wizkid wakiwa pamoja sio picha...
https://clemencekarani.blogspot.com/2016/04/picha-za-davido-na-wizkid-wakiwa-pamoja.html
Wizkid aliwahi kuhojiwa na mtangazaji huyuhuyu pia akasema Davido anamuonea wivu sababu ya mafaniko yake…. haya yooote yalipita na wawili hawa wakaja kupatana na sasa wako poa na hata waliahidi kutoa single pamoja.
Kwenye Interview ambayo Davido akiongelea kutokupatana kwake na Wizkid
Post ya picha ya Wizkid na Davido kwenye Twitter imekuwa RETWEETED na watu wengi ambao ni zaidi ya 800 mpaka mara ya mwisho naitazama tofauti na post zake nyingine zilizotangulia.
Wizkid naye alipost picha hiyohiyo kwenye page yake ya Instagram na kuandika ‘kileleni… sisi pekee’ ambapo mashabiki wengi wameonekana kufurahishwa na watu hawa ambao walionekana kuwa na uhasama, mashabiki wengine wamelilia ifanyike kolabo yao.


