Chris Brown ashinda kesi ya kumlea mwanae dhidi ya mzazi mwenzake
Drama za mastaa wa Marekani kugombea watoto na wapenzi wao wanapoachana bado zinaendelea na sasa ni zamu ya Chris Brown na mzazi mwenzake ...
https://clemencekarani.blogspot.com/2016/05/chris-brown-ashinda-kesi-ya-kumlea.html
Drama za mastaa wa Marekani kugombea watoto na wapenzi wao
wanapoachana bado zinaendelea na sasa ni zamu ya Chris Brown na mzazi
mwenzake Nia.

Jumanne hii jaji wa mahaka ya Los Angeles alimpa ruhusa Chris Brown kuendelea kukaa na mwanae, Royaty baada ya malalamiko aliyoyapeleka mzazi mwenzake, Nia Guzman kuonekana hayana mashiko.
Jaji huyo amempa ruhusa Chris Brown kuendelea kumlea na kukaa na mwanae siku 12 kwa mwezi kama alivyopangiwa hapo awali. Hata hivyo Nia anadai apatiwe kiasi cha $16000 kwa mwezi kwa ajili ya matumizi ya mtoto badala ya $2500 anayopatiwa sasa hivi na Chris Brown.
Jumanne hii jaji wa mahaka ya Los Angeles alimpa ruhusa Chris Brown kuendelea kukaa na mwanae, Royaty baada ya malalamiko aliyoyapeleka mzazi mwenzake, Nia Guzman kuonekana hayana mashiko.
Jaji huyo amempa ruhusa Chris Brown kuendelea kumlea na kukaa na mwanae siku 12 kwa mwezi kama alivyopangiwa hapo awali. Hata hivyo Nia anadai apatiwe kiasi cha $16000 kwa mwezi kwa ajili ya matumizi ya mtoto badala ya $2500 anayopatiwa sasa hivi na Chris Brown.


