Kwa mara ya kwanza mwaka huu Birdman katoa kauli kuhusu album mpya ya Lil Wayne.

Boss wa Cash Money Birdman amefunguka kuhusu kumbani Lil Wayne kutoa album yake mp...

Boss wa Cash Money Birdman amefunguka kuhusu kumbani Lil Wayne kutoa album yake mpya ya Carter V. Birdman amehojiwa nyumbani kwake na kusema “Lil Wayne ni boss wa kazi zake mwenyewe, sijawahi kuingilia mambo yake, kwanini nisitoa album ya Tha Carter V, nina pesa nyingi sana nimewekeza kwenye lebel ya Young Money na Lil Wayne,dunia inastahili kuipata Carter V, atakapo taka kuitoa mimi niko sawa tu
Ni mwaka na miezi kadha sasa toka Lil Wayne aseme kuwa Birdman anamshikilia kwenye mkataba wa Cash Money huku akizuia album yake kutoka

Related

BURUDANI 675224977090518815

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item