Stori,Jinsi uvumi wa usaliti wa Jay Z utakavyo watajirisha familia ya The Carters

Beyonce na Jay Z wameripotiwa kutengeneza zaidi ya Pound za Uingereza milioni 150 k...

Beyonce na Jay Z wameripotiwa kutengeneza zaidi ya Pound za Uingereza milioni 150 kupitia uvumi wa usaliti wa Jay Z.
Ripoti inasema Jay Z na Beyonce walipanga na kukubaliana kukikisha mauzo ya album ya Beyonce ‘Lemonade’ kwa kutumia uvumi wa JayZ kumsaliti mke wake na mwanamke aliyepewa husika wa Becky kwenye wimbo wa ‘Sorry’.
Jay Z anapitia na kuhakikisha kila wimbo wa Beyonce kabla haujatoka, yeye ndio anamamlaka ya kuruhusu wimbo utoke ndio maana inaaminika lilikuwa wazo lake kwa Beyonce kuweka mashairi haya.
Thamani ya Jay Z na Beyonce ni zaidi ya dola milioni £700.
Beyonce anadili na kinywaji cha Pepsi lenye thamani ya pound milioni £30million, pia anafanya kazi na kampuni kubwa kama Ivy Park fitness range, Tommy Hilfiger ,Nintendo, American Express, L’Oreal na Tidal.

Related

BURUDANI 1996423069417599085

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item