UEFA inaandaa mkutano mkuu Budapest

Kamati kuu ya UEFA inakutana mjini Budapest katika mkesha wa mkutano mkuu wa Shirikisho hilo la Kandanda Ulaya lakini hatima ya rais wao ...

Kamati kuu ya UEFA inakutana mjini Budapest katika mkesha wa mkutano mkuu wa Shirikisho hilo la Kandanda Ulaya lakini hatima ya rais wao aliyesimamishwa kazi Michel Platini itaighubika mikutano hiyo
Uongozi wa UEFA utajadili leo miundo ya mashindano, masuala ya kinidhamu na kusikiliza ripoti nyingine muda mfupi kabla ya kuanza dimba la Kombe la Mataifa ya Ulaya Euro 2016 nchini Ufaransa kuanzia Juni 10.
UEFA inataka kudhihirisha kuwa ingali na uwezo wa kufanya kazi na kuchukua maamuzi katika wakati huu ambapo kuna mgogoro wa uongozi, huku ikisubiri uamuzi wa Mahakama ya Usuluhishi wa Migogoro ya Michezo kuhusu Platini. Platini alikata rufaa dhidi ya hatua ya FIFA kumsimamisha kazi na kesi hiyo ikasikilizwa Ijumaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Migogoro ya Michezo.

Related

MICHEZO 4151571804250889818

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item