Ada ya kupiga simu Ulaya yashuka kwa 75%

Raia wa Ulaya wakipiga selfie Ada ya kupiga simu kupitia mitandao mingine katika muungano wa bara Ulaya imeshuka kwa kiwango kikubw...

Raia wa Ulaya wakipiga selfie

Ada ya kupiga simu kupitia mitandao mingine katika muungano wa bara Ulaya imeshuka kwa kiwango kikubwa, ikiwa ni hatua ya mwisho kabla ya ada hiyo kuondolewa kabisa kwa raia wa bara Ulaya mwaka ujao.
Ada hiyo huwa haiwapendezi raia wengi wa bara hilo wanaosafiri kwa shughuli za kibiashara na burudani.
Tume ya muungano huo inasema ada hiyo imeshuka kwa asilimia 75.
Raia wa Ulaya anayepiga simu


Serikali imesema kuwa wale wanaopiga simu ,kupakua data ama kutuma ujumbe watahifadhi mamilioni ya pauni kwa ada kufuatia mabadiliko hayo.
Mamilioni ya Waingereza hutumia pauni milioni 350 kila mwaka kutokana na ada hizo za kupiga simu miongoni mwa mataifa ya bara hilo,alisema waziri wa uchumi wa kidijitali Ed Vaizey.

Related

HABARI 288161655044422893

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item