Waandamana dhidi ya chama chenye sera zinazopinga Uislamu

 waandamaji Polisi nchini Ujerumani wamewazuilia mamia ya w...


 waandamaji


Polisi nchini Ujerumani wamewazuilia mamia ya waandamanaji wanaopinga chama cha mrengo wa kulia cha AFD.
Zaidi ya maafisa 1000 wametumwa katika eneo la mkutano wa chama hicho katika mji wa Stuttgart kutoa ulinzi.


Polisi wametumia maji ya pilipili kuwatawanya waandamanaji waliobeba vijiti na vyuma, na kuchoma moto tairi kwenye kiingilio cha eneo la mkutano wa chama hicho, ili kuwazuia wanachama wake.
Chama hicho kinatarajiwa kuzinduliwa upya, na kutangaza wazi kuwa kinapinga dini ya kiislamu.


Image caption Maandamano dhidi ya chama cha AFD kinachopinga uislamu
Chama hicho kinapanga kupiga marufuku vazi la kidini la burqa, minara ya misikiti ambapo mwadhini hutangaza wito wa maombi, na pia kupiga marufuku mwito huo wa waadhini.

Related

HABARI 5323269501387397823

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item