Ukame walazimu treni ipeleke maji kilomita 300

Gari la moshi la dharura lililobeba lita nusu milioni ya maji inatarajiwa kuwasili Magharibi mwa India kukata kiu ya wenyeji wa ...



Gari la moshi la dharura lililobeba lita nusu milioni ya maji inatarajiwa kuwasili Magharibi mwa India kukata kiu ya wenyeji wa eneo hilo lililokumbwa na ukame.
Gari la moshi hilo linaloitwa ''Treni ya maji'' linavuta mabehewa 10 makubwa yaliyojaa maji.
Image caption Mabwawa ya maji yaliyokuwa yanategemewa kwa uhifadhi wa maji yamekauka baada ya ukosefu wa mvua
Hilo ndilo treni la kwanza kati ya mia zilizopangwa kupeleka maji Magharibi mwa India.
Mabehewa 100 ya maji yatasafirishwa umbali wa kilomita 300 hadi Latur katika jimbo la Maharashtra Kusini.
Jimbo hilo linakumbwa na ukame mbaya sana katika kipindi cha karne moja iliyopita.
Image copyright
Image caption Mabehewa 100 ya maji yatasafirishwa umbali wa kilomita 300 hadi Latur katika jimbo la Maharashtra Kusini.
Mabwawa ya maji yaliyokuwa yanategemewa kwa uhifadhi wa maji yamekauka baada ya ukosefu wa mvua kwa kipindi kirefu.
Ukame huo umesababisha hata hospitali katika eneo hilo la Kusini kuahirisha operesheni ya wagonjwa kwa sababu ya uhaba wa maji.

Related

MATUKIO 264379379027320494

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item