Wanaharakati Washia wavamia bunge Iraq

Bunge la Iraq Wanaharakati wa Kishia wamevamia bunge wakipinga utata unaozunguka mkwamo wa kuidhinisha baraza jipya la ...

Bunge la Iraq
Wanaharakati wa Kishia wamevamia bunge wakipinga utata unaozunguka mkwamo wa kuidhinisha baraza jipya la mawaziri.

Mamia ya wafuasi wa kiongozi wa Shia, Moqtada al-Sadr walivunja milango ya kuingia bungeni baada ya wabunge kwa mara nyengine kushindwa kukutana ili kupitisha baraza hilo.
Bwana Sadr anamtaka waziri mkuu Haider al-Abadi kushinikiza kubadilishwa kwa mawaziri na wataalam wasiopendelea upande wowote
.
Vyama vikuu katika bunge hilo vimekataa kuidhinisha mabadiliko hayo kwa wiki kadhaa.
Waandamanji hao waliwazuia wabunge waliojaribu kutoroka,''wakiimba waoga wanatoroka''.

Related

HABARI 3151381265269362513

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item