ATLETICO WALIVYOKAMILIASHA MAZOEZI YA MWISHO KUIKABILI MADRID

Atletico Madrid ndiyo walikuwa wakwanza kufanya mazoezi yao ya mwisho kwenye uwanja wa San Siro kuelekea mchezo wa fainali yao ya klab...


IMG-20160527-WA0038
Atletico Madrid ndiyo walikuwa wakwanza kufanya mazoezi yao ya mwisho kwenye uwanja wa San Siro kuelekea mchezo wa fainali yao ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid.
Namna ambavyo wamefanya mazoezi yao inaashiria kabisa ni jinsi gani watacheza mchezo wao wa kesho kwa kujaza viungo wengi kwenye katikati ya uwanja.

Siri ya mafanikio ya Atletico Madrid ni kucheza pressing game, leo wakati wanafanya mazoezi yao ya mwisho walitumia sehemu ndogo ya katikati ya uwanja kwa kuukata uwanja katika eneo la mraba na kucheza pasi za haraka ndani ya eneo hilo la mraba.
Hivi ndivyo Atletico Madrid walivyougawa uwanja na kutengeneza ki-box kido ambacho walikuwa wakipambana ndani yake
Hivi ndivyo Atletico Madrid walivyougawa uwanja na kutengeneza ki-box kido ambacho walikuwa wakipambana ndani yake
Mabeki wa pembeni wao walikuwa nje ya mraba huo nia na madhumuni ya kushindana katika eneo hilo dogo la mraba ilikuwa ni mbinu na mipango ya benchi la ufundi la timu hiyo ambao wanajua fika kwamba mchezo wa kesho utakuwa na vita katika eneo la katikati ya uwanja.
IMG-20160527-WA0045
Ili kuweza kushinda vita ya eneo la katikati ya uwanja, inawabidi Atletico wafanye kazi kubwa ya pressing na ku-win possession  kwa haraka na kutengeneza nafasi kwa haraka.
IMG-20160527-WA0038
Eneo la nje la mraba huo walikuwepo mabeki wa pembeni ambao kazi yao ilikuwa ni kulazimisha wapinzani wao ili mipira iende pembeni kwenye wings na kuwabana huko kwa haraka ili warudishe mipira kwenye himaya yao na kuweza kushambulia kwa namna wanayotaka wao.

Related

MICHEZO 1360604414494606344

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item