Baba yake Beyonce asema hajawahi kumpiga mwanae.

Baba mzazi wa Beyonce ‘Matthew Knowles’ amekuwa kimya baada ya album ya mtoto wake ...

Baba mzazi wa Beyonce ‘Matthew Knowles’ amekuwa kimya baada ya album ya mtoto wake ya Lemonade kutoka mnamo April 23 ila hivi karibuni ametaka watu wajue kuwa hajawahi kumpiga mtoto wake.
“Naweza kusema sijawahi kumpiga mtoto wangu, siamini kwenye mambo kama hayo” Knowles aliimbia jarida la US.
Baba yake Beyonce pia amesema hajui album mpya ya LEMONADE imemuongelea nani zaidi sababu hawezi kujua mawazo ya Beyonce.

Related

BURUDANI 608301332424113390

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item