Iran yaitaka Marekani kufidia uhalifu

Bunge nchini Iran Bunge la Iran limepitisha sheria inayoitaka serikali kuitisha fidia kutoka Marekani kwa uhalifu ul...

Bunge nchini Iran
Bunge la Iran limepitisha sheria inayoitaka serikali kuitisha fidia kutoka Marekani kwa uhalifu uliotendwa kwa zaidi ya miaka 60.
Kati ya vitendo vilivyotajwa kwenye sheria hiyo ni mapinduzi ya mwaka 1953 ambayo yaliiangusha serikali ya Mohammad Mossadegh.
Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani hivi majuzi iliamua kuwa Iran ni lazima iwalipe fidia ya karibu dola bilioni mbili waathiriwa wa mashambulizi ambayo Marekani inadai yalisababishwa na Iran.
Hii inajumuisha mashambulizi ya kambi ya jeshi la Marekani mjini Beirut mwaka 1983.

Related

MATUKIO 7021387227429008579

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item