Je wajua kuwa:Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kufungia video ya Snura mpaka atakapoirekebisha.

Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo leo imetangaza rasmi kumfungia msanii...

Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo leo imetangaza rasmi kumfungia msanii wa bongo fleva Snura kujihusisha na masuala ya sanaa. Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Zawadi Msalla ameongea na waandishi wa habari na kuthibitisha taarifa hizi.
Wimbo huu wa Chura umefungiwa kupata muda wa hewani kwenye redio na TV nchini. Taarifa hiyo imetolewa na wizara hiyo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wake wa mikutano wizarani hapo  Dar es salaam.
Uamuzi wa kumfungia umekuja kutokana msanii huyo kutojisajili kwenye Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA.

Related

BURUDANI 460022279634274524

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item