Man United yamlipia nauli Van Gaal kurudi kwao

Manchester United ilimlipia nauli ya ndege ya kibinafsi iliomsafirisha mkufunzi aliyefutwa kazi Louis van Gaal hadi nyumbani kwake h...


Manchester United ilimlipia nauli ya ndege ya kibinafsi iliomsafirisha mkufunzi aliyefutwa kazi Louis van Gaal hadi nyumbani kwake huko Ureno siku ya Jumatatu.
Kupitia ombi lake,Man United ilikubali kuchelewesha thibitisho la kufutwa kwake hadi raia huyo mwenye umri wa miaka 64 alipokuwa safarini kuelekea Algarve na mkewe Truus.
Imebainika kwamba Man United ndio iliomlipia nauli hiyo.
Ndege ya kibinafsi
United imekana kusema ni fedha ngapi ilizotumia ,lakini ndege ya kibinafsi kutoka Manchester hadi Ureno hugharimu pauni 10,000.
Van Gaal alifutwa kazi siku mbili baada ya kuisaidia Manchester United kushinda kombe la FA dhidi ya Crystal Palace.

Related

MICHEZO 5982947549041593774

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item