Ranieri awataka nyota wake kusalia

Ranieri Meneja wa kilabu ya leicester Claudio Ranieri amewataka nyota wake kati...

Ranieri

Meneja wa kilabu ya leicester Claudio Ranieri amewataka nyota wake katika kikosi chake kusalia katika timu hiyo kwa mwaka mmoja zaidi.
Mbweha hao waliwashangaza wengi kwa kushinda ligi hiyo baada ya kutumia pauni milioni 57 pekee msimu huu.
Winga Riyad Mahrez ,mshambuliaji Jamie Vardy na kiungo wa kati N'golo Kante ni miongoni mwa wachezaji wa klabu hiyo wanaotarajiwa kuondoka na kujiunga na timu nyengine msimu ujao.
''Nina matumaini tele'',alisema Ranieri.''Musiende''.

Image copyright Getty
Image caption Nyota wa Leicester
''Mukienda timu nyengine huenda musishirikishwe katika mechi''.
Wahandishi wa habari walimpatia heshima kwa kusimama kocha huyo wa Itali aliyechukua mahala pake Nigel Pearson msimu uliopita wakati alipowasili kwa mkutano na vyombo vya habari.

Related

MICHEZO 7793731052867728257

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item