Wenyeji wa Fallujah washauriwa kuondoka

Mji wa Fallujah uko mikononi mwa Islamic State. Wenyeji wa mji wa Falluja nchini Iraq ambao unadhibitiwa na Islamic State wameshauriwa...

Mji wa Fallujah uko mikononi mwa Islamic State.
Wenyeji wa mji wa Falluja nchini Iraq ambao unadhibitiwa na Islamic State wameshauriwa na jeshi la Iraq kuwa tayari kuondoka mjini humo.
Ushauri huo ulitolewa kabla ya mashambulizi yanayotarajiwa kuendesha na jeshi ili kuukomboa mji huo
Mtandao mmoa wa wakurdi unasema kwa karibu wajajeshi 20,000 wamewasilia katika maneo yanayounzuaguka mji wa Fallujah.
Kundi moja la kutetea haki za binadamu lenye makao yake nchini Marekani linasema kuwa watu waliokwama mjini humo wanakumbwa na njaa.

Related

MATUKIO 8283405183776744024

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item