Iggy Azalea apinga taarifa za kurudiana na Nick Young
Baada ya kuvunjika kwa mahusiano yao hivi karibuni, rapper Iggy Azalea amefafanua tetesi za kurudiana na mchumba wake mchezaji ...
http://clemencekarani.blogspot.com/2016/06/iggy-azalea-apinga-taarifa-za-kurudiana.html
Baada ya kuvunjika kwa mahusiano yao hivi karibuni, rapper Iggy Azalea amefafanua tetesi za kurudiana na mchumba wake mchezaji wa kikapu, Nick Young baada ya kuonekana akiingia kwenye nyumba waliokuwa wanaishi huko Los Angeles.
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Iggy ameandika, “I never had anyone’s car towed nor did I kick nick out of “my” house. The home belongs to nick, Iam the one moving. Thanks.”
Uhusiano wa Iggy na Nick uliingia dosari baada ya kuvuja kwa mazungumzo ya siri March 24 yaliyomhusisha Nick na mchezaji mwenzake D’Angelo Russell kuhusu kutongaza wanawake wengine.