Obama awaomba Wamarekani wasife moyo
Obama awaomba Wamarekani wasife moyo Image copyright EPA Image caption Obama amkumbatia mkuu wa polisi wa Dallas Rais Barack Obama amewao...
http://clemencekarani.blogspot.com/2016/07/obama-awaomba-wamarekani-wasife-moyo.html
Obama awaomba Wamarekani wasife moyo
Rais Barack Obama amewaomba raia Marekani wasivunjike moyo kuhusu wasiwasi wa ubaguzi wa rangi akieleza kuwa tiafa hilo halijagawanyika kama inavyodhaniwa.
Alikuwa akizungumza katika misa ya wafu ya maafisa wataano waliopigwa risasi na kuuawa na mwanajeshi wa zamani aliyetaka kulipiza kisasi kwa mauaji ya wanaume weusi na polisi.
Bw Obama amesema polisi hawapaswi kuonekana kama walio na ubaguzi.