Amnesty International yaishutumu Misri
Amnesty International yaishutumu Misri Image copyright REUTERS Image caption Katibu mkuu wa Amnesty International Salil Shetty Shirika la...
http://clemencekarani.blogspot.com/2016/07/amnesty-international-yaishutumu-misri.html
Amnesty International yaishutumu Misri
Shirika la kutetea haki za binaadamu, Amnesty International, limeishutumu serikali ya Misri kwa kuwapoteza watu kwa lazima ili kutishia na kuzima upinzani nchini. Amnesty linasema mamia ya wanafunzi wanaharakaati wa kisiasa na waandamanaji baadhi wakiwa na umri wa hata miaka 14 wamepotea.