Picha,Cristiano Ronaldo na familia yake wanaelekea kwenye kula bata sasa.
Baada tu ya ushindi mkubwa na timu yake ya Portugal kwenye michuano ya Euro 2016,Cristiano Ronaldo na familia yake wamechukua muda wa ma...
http://clemencekarani.blogspot.com/2016/07/pichacristiano-ronaldo-na-familia-yake.html
Baada tu ya ushindi mkubwa na timu yake ya Portugal kwenye michuano ya Euro 2016,Cristiano Ronaldo na familia yake wamechukua muda wa mapumziko kidogo kama unavyoona kwenye picha hio wakisafiri kwenye batani.
Ronaldo na timu yake ya taifa ya Ureno walipokelewa na maelfu ya watu mjini Lisbon walivyofika na kombe la Euro 2016.
Ronaldo aliandika instagram ‘Travel with family“