Kitendo hichi kinachofanywa na mashabiki kimemfanya Justin Bieber kujiona mnyama.

Pop Staa  Justin Bieber amelalamika kuhusu tabia ya mashabiki wakumuona tu kutaka ...

Pop Staa  Justin Bieber amelalamika kuhusu tabia ya mashabiki wakumuona tu kutaka kupiga naye picha bila hata kumsalimia na kusema ni jambo linalomfanya ajione ni mnyama na kitu cha maonyesho tu.
Kupitia insta yake Justin Bieber anasema hataki tena kupiga picha na watu sababu imejenga mazoea mabaya. Nimewatengenezea album na umenunua album, haisemi popote ukinunua album yangu unapata nafasi pia ya kupiga picha na mimi, alisema Justin B.

Related

BURUDANI 1442035111741515980

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item