Ndege zashambulia barabara karibu na Allepo, Syria

Ndege zilifanya mashambulizi kwenye barabara inayoelekea maeneo yanayodhibitiwa na waasi katika mji wa Allepo. Wanahara...

Ndege zilifanya mashambulizi kwenye barabara inayoelekea maeneo yanayodhibitiwa na waasi katika mji wa Allepo.

Wanaharakati nchini Syria wanasema kuwa ndege za kivita zimefanya mashambulizi makubwa zaidi kwenye barabara inayoelekea maeneo yanayodhibitiwa na waasi katika mji wa Allepo.
Wanaharakati wanasema kuwa ndege za Urusi na za serikaliya Syria, zimeshirika kwenye mashambulizi hayo licha ya hilo kutothibitishwa rasmi.
Serikali ya Syria imekuwa ikishambulia maeneo yanayodhibitiwa na waasi mjini Allepo siku za hivi karibuni na kuvunja makubaliano yaliyoafikiwa mwishoni mwa mwezi Februari.

Related

MATUKIO 7458435883729113303

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item