Barcelona: Tunakabiliwa na upinzani mkali

Klabu ya Barcelona italazimika kushinda mechi zake zote za mwisho ili kushinda taji la ligi ya La Liga kwa kuwa huenda wapinzani ...



Klabu ya Barcelona italazimika kushinda mechi zake zote za mwisho ili kushinda taji la ligi ya La Liga kwa kuwa huenda wapinzani wao wasipoteze hata pointi moja kulingana na kocha Kuis Enrique.
Viongozi Barcelona walioanza mwezi wa April wakiwa na pointi nane kileleni mwa ligi hiyo,wako sawa kwa pointi na Atletico Madrid huku Real Madrid ilio nafasi ya tatu wakiwa nyuma kwa pointi moja.
''Haiwezekani kwamba timu zilizo nyuma yetu zitapoteza pointi'',alisema Enrique siku ya Ijumaa.

Real Madrid na Atletico Madrid
''Mchezo wetu ni mzuri katika kipindi hiki cha mwisho''.
Barcelona iko mbele ya Atletico kutokana na tofauti ya mabao.
Barca,Atletico na Real Madrid zote zinacheza Jumamosi katika muda tofauti.

Real Madrid dhidi ya Barcelona
KIabu ya Zinedine Zidane inaweza kwa masaa machache kupanda katika kilele cha ligi iwapo itashinda dhidi ya Real Sociedad katika mechi ya mapema.

Related

MICHEZO 8565064520093953891

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item