Ethiopia yatekeleza operesheni Sudan Kusini

Wanajeshi wa Ethiopia Serikali ya Ethiopia inasema kuwa wanajeshi wake wamelizingira eneo moja nchini Sudan Kusini ambapo inaamini z...

Wanajeshi wa Ethiopia
Serikali ya Ethiopia inasema kuwa wanajeshi wake wamelizingira eneo moja nchini Sudan Kusini ambapo inaamini zaidi ya watoto 100 waliotekwa nyara wanazuiliwa.
Watoto hao walitekwa katika uvamizi wa mpakani ijumaa iliopita,ambapo zaidi ya watu 200 waliuawa.
Ethiopia imesema kuwa itawavamia washambuliaji wanaodaiwa kutoka katika jamii ya Murle.
Washambuliaji hao wanadaiwa kuingia nchini Ethiopia kutoka Sudan Kusini na kuchukua mifugo na mara nyengine huwateka watoto.

Related

HABARI 5773600692877391471

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item