Astona Villa yanunuliwa na Mchina

Tony Xia Klabu ya soka ya Aston villa ambayo imeteremka daraja msimu huu katika ligi kuu ya England,hatimaye imenunuliwa na tajiri wa...

Tony Xia
Klabu ya soka ya Aston villa ambayo imeteremka daraja msimu huu katika ligi kuu ya England,hatimaye imenunuliwa na tajiri wa kichina Tony Xia ambaye ni mfanya biashara aliyewekeza katika sekta ya Michezo,Utalii,kilimo na afya.

Xia ameinunua Aston Villa kwa gharama ya dola milioni tisini (90), amesema amekuwa ni shabiki mkubwa wa klabu hiyo kwa miaka mingi ingawaje hajafurahishwa na matokeo mabovu ya msimu huu amabayo yamepelekea timu hiyo kushuka daraja.

Aston villa imeshuka daraja baada ya kuwa timu ya mwisho katika msimamo nafasi ya ishirini ikiwa na alama kumi na saba .

Related

MICHEZO 6674993978154973879

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item