Nigeria yatupilia mbali mswada wenye utata

Mswada huo ulipendekeza kifungo cha miaka saba jela au faini ya dola 25,000. Bunge la senate nchini Nigeria limetupili...

Mswada huo ulipendekeza kifungo cha miaka saba jela au faini ya dola 25,000.
Bunge la senate nchini Nigeria limetupilia mbali mswada ulionuia kudhibiti mitandao ya kijamii ambao wakosoaji walidai ulilenga kukandamiza uhuru wa kusema.

Mwezi Disemba mwaka uliopita mswada huo ulikoselewa vikali kwa kunuia kumuadhibu yeyote ambaye ataeneza habari za uongo kwenye vyombo vya habari.

Ulipendekeza kifungo cha miaka saba jela au faini ya dola 25,000 kwa yeyote ambaye angepatika akituma ujumbe wa matusi.

Related

MATUKIO 4625490086727344231

Post a Comment

emo-but-icon

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII

KILIMANJARO MOUNTAIN IN TANZANIA

http://www.tanzaniaparks.go.tz/

welcome in Tanzania at Arusha Mount meru

https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=7138641291977024838#editor/target=post;postID=3203923396230239409

https://web.facebook.com/kephasilani?fref=ts

Recent

Comments

item